Swali: Je, mtoto wa nje ya ndoa anarithi na anarithiwa?
Jibu: Mtoto wa nje ndoa ananasibishwa kwa mama yake. Anamrithi mama yake na mama yake anamrithi. Hana baba wala ndugu upande wa baba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 30/11/2023
Swali: Je, mtoto wa nje ya ndoa anarithi na anarithiwa?
Jibu: Mtoto wa nje ndoa ananasibishwa kwa mama yake. Anamrithi mama yake na mama yake anamrithi. Hana baba wala ndugu upande wa baba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
Imechapishwa: 30/11/2023
https://firqatunnajia.com/mirathi-ya-mtoto-wa-nje-ya-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)