Swali: Je, unapendelea mwanafunzi anayeanza kusoma vitabu vya Ruduud na mijadala ili aweze kupambanua baina ya haki na batili? Unamnasihi nini?
Jibu: Ninachomnasihi aanze kwanza kwa kujifunza na asome kwa wanachuoni. Ima aende kwenye masomo rasmi na kusoma selebasi ya shuleni au kwa kukaa na wanachuoni. Asijishughulishe na Ruduud na mijadala kabla hajajifunza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (30) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)