Swali: Ikiwa mwanaume atamwacha mke wake ajivue katika ndoa kwa fidia (الخلع) na mwanamke akashindwa kulipa fidia hii mpaka akatoka ndani ya eda – je, mume anaweza kumrejea pasi na kufunga ndoa mpya au ni lazima kufunga ndoa mpya?
Jibu: Kujivua hakutimii mpaka mwanamke ampe badali. Atakapompa fidia hapo ndipo kumepita kujivua.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (38)
- Imechapishwa: 25/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)