Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kufanya upasuaji wa kuondosha kizazi ikiwa anadhurika kwa kushika mimba?
Jibu: Ikiwa kuna madhara ya wazi, basi awashauri madaktari bingwa wa kiume na madaktari bingwa wa kike. Ikiwa kuna madhara ya wazi hapana vibaya kuondosha kizazi.
Muulizaji: Anataka kuondosha kizazi?
Ibn Baaz: Ni lazima kuwepo na uhakika wa madhara na isiwe mahisio tu.
Swali: Kukiwepo na uhakika aondoshe kizazi?
Jibu: Hapana vibaya. Aondoshe au afunge.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23272/هل-يجوز-تعقيم-المراة-المتضررة-بالحمل
- Imechapishwa: 15/12/2023
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kufanya upasuaji wa kuondosha kizazi ikiwa anadhurika kwa kushika mimba?
Jibu: Ikiwa kuna madhara ya wazi, basi awashauri madaktari bingwa wa kiume na madaktari bingwa wa kike. Ikiwa kuna madhara ya wazi hapana vibaya kuondosha kizazi.
Muulizaji: Anataka kuondosha kizazi?
Ibn Baaz: Ni lazima kuwepo na uhakika wa madhara na isiwe mahisio tu.
Swali: Kukiwepo na uhakika aondoshe kizazi?
Jibu: Hapana vibaya. Aondoshe au afunge.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23272/هل-يجوز-تعقيم-المراة-المتضررة-بالحمل
Imechapishwa: 15/12/2023
https://firqatunnajia.com/hapa-ndipo-inaruhusiwa-kwa-mwanamke-kufunga-kizazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)