Swali: Vipi mtu ataoanisha kati ya Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kitendo chake cha kutoa mali yake yote na makatazo ya kutoa vyote na baada ya hapo mtu akawaomba-omba watu?
Jibu: Ikiwa mtu ana imani yenye nguvu kwa Allaah kama aliokuwa nayo Abu Bakr as-Swiddiyq, haina neno. Ama ikiwa mtu ana imani dhaifu na anahitaji kubakia na sehemu katika mali yake, anaweza kufanya hivo [kubaki na sehemu katika mali yake] kutokana na haja yake. Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipomuuliza alichoacha nyumbani kwa wanafamilia yake, akasema:
“Nimemwacha Allaah na Mtume Wake.”
Hii inaonyesha nguvu ya imani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket