Swali: Ni kipi kinachotanguliwa kwa mwanafunzi; masomo au kuoa? Ikiwa ataoa basi atasitisha kusoma kwa sababu hawezi kuihudumia familia yake katika hali ya uoaji.
Jibu: Ikiwa anakhofia kutumbukia katika madhambi aoe. Atangulize kuoa ili kuihifadhi nafsi yake. Hili litamsahilishia masomo yake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
- Imechapishwa: 16/06/2015
Swali: Ni kipi kinachotanguliwa kwa mwanafunzi; masomo au kuoa? Ikiwa ataoa basi atasitisha kusoma kwa sababu hawezi kuihudumia familia yake katika hali ya uoaji.
Jibu: Ikiwa anakhofia kutumbukia katika madhambi aoe. Atangulize kuoa ili kuihifadhi nafsi yake. Hili litamsahilishia masomo yake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (29) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20%20-%2025-12-1435.mp3
Imechapishwa: 16/06/2015
https://firqatunnajia.com/kusoma-au-kuoa-kwanza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)