Swali: Je, mtenda madhambi anaweza kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Je, kuna fadhilah katika kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayeniona basi ameniona kweli. Kwani hakika shaytwaan hawezi kujifananisha na mimi.”
Swali: Baadhi yao wanasema kuwa wamemuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Katika jambo la kumuona hakupelekei katika kheri wala shari yoyote. Wako wengi waliomuona katika maisha yake na wakafa katika ukafiri. Kwa msemo mwingine hakukuwafaa kitu kule kumuona kwao. Wanafiki hakukuwafaa kitu kumuona. Wale walioritadi baada ya kufa kwake hakukuwafaa kitu kumuona.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23377/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%B1%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%B5%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%8A-%EF%B7%BA-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%86%D8%A7%D9%85
- Imechapishwa: 05/01/2024
Swali: Je, mtenda madhambi anaweza kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Je, kuna fadhilah katika kumuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakayeniona basi ameniona kweli. Kwani hakika shaytwaan hawezi kujifananisha na mimi.”
Swali: Baadhi yao wanasema kuwa wamemuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Katika jambo la kumuona hakupelekei katika kheri wala shari yoyote. Wako wengi waliomuona katika maisha yake na wakafa katika ukafiri. Kwa msemo mwingine hakukuwafaa kitu kule kumuona kwao. Wanafiki hakukuwafaa kitu kumuona. Wale walioritadi baada ya kufa kwake hakukuwafaa kitu kumuona.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23377/%D9%87%D9%84-%D9%8A%D8%B1%D9%89-%D8%A7%D9%84%D8%B9%D8%A7%D8%B5%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%86%D8%A8%D9%8A-%EF%B7%BA-%D9%81%D9%8A-%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%86%D8%A7%D9%85
Imechapishwa: 05/01/2024
https://firqatunnajia.com/hakupelekei-kheri-wala-shari-yoyote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)