Swali: Miongoni mwa sifa za kipekee za ijumaa ni kwamba haina wakati wa makatazo ya kuswali?
Jibu: Ndio. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote atakayeoga kisha akaja ijumaa na akaswali kile alichoandikiwa… ”[1]
Inafahamisha kuwa kipindi chote hichi ni wakati wa kuswali.
[1] Muslim (1418) na tamko lake na at-Tirmidhiy (458).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23801/هل-يوجد-وقت-نهي-قبل-صلاة-الجمعة
- Imechapishwa: 02/05/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)