Swali: Kuna uwezekano kukaweko kujivua (الخلع) bila fidia?
Jibu: Hapana, hakuna kujivua pasi na fidia.
Swali: Lakini vipi ikiwa mume hataki kitu?
Jibu: Hivyo inahesabika kama talaka na si kujivua. Katika hali hiyo anaweza pia kumrejea.
Swali: Hata hivyo hawezi kumrejea wakati wa eda yake baada ya kujivua kwake?
Jibu: Hapana, hawezi kumrejea. Lazima wafunge ndoa upya. Ikiwa wameachana kwa fidia, basi ni lazima wafunge ndoa upya.
Swali: Na ni lazima waote wawili wakubaliane?
Jibu: Ndio.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22284/هل-يصح-الخلع-بين-الزوجين-بدون-مال
- Imechapishwa: 03/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)