709- Nilimsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye mtaji wake ni vipande vya dhahabu 20 na pia yuko na familia; je, analazimika kuhiji?” Akajibu:
“Nataraji kwamba hajj haimlazimu. Akihiji basi familia yake inaangamia.”
Bi maana kutokea Baghdaad.
710- Ahmad aliulizwa kuhusu mwanamme ambaye yuko na pesa za kuoa; je, aoe au ahiji kwa pesa hizo? Akajibu:
“Ahiji kama hachelei kufanya dhambi.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 150
- Imechapishwa: 26/03/2021
709- Nilimsikia Ahmad akiulizwa juu ya mtu ambaye mtaji wake ni vipande vya dhahabu 20 na pia yuko na familia; je, analazimika kuhiji?” Akajibu:
“Nataraji kwamba hajj haimlazimu. Akihiji basi familia yake inaangamia.”
Bi maana kutokea Baghdaad.
710- Ahmad aliulizwa kuhusu mwanamme ambaye yuko na pesa za kuoa; je, aoe au ahiji kwa pesa hizo? Akajibu:
“Ahiji kama hachelei kufanya dhambi.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 150
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/hajj-au-familia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)