712- Nilimuuliza: “Mwanamke tajiri hana Mahram wa kuhiji naye. Je, bado hajj inamuwajibikia?” Akajibu: “Hapana.” Nikasema kumwambia Ahmad: “Kama yuko na Mahram ambaye anachelea kutenda naye dhambi, bi maana endapo atasafiri naye?” Akajibu: “Ima ni mnyonge au ameshughulishwa.” Ni kana kwamba anaonelea kuwa hakuna neno asipohiji naye.
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 150
- Imechapishwa: 26/03/2021
712- Nilimuuliza: “Mwanamke tajiri hana Mahram wa kuhiji naye. Je, bado hajj inamuwajibikia?” Akajibu: “Hapana.” Nikasema kumwambia Ahmad: “Kama yuko na Mahram ambaye anachelea kutenda naye dhambi, bi maana endapo atasafiri naye?” Akajibu: “Ima ni mnyonge au ameshughulishwa.” Ni kana kwamba anaonelea kuwa hakuna neno asipohiji naye.
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 150
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/hana-mwanamme-wa-kuhiji-naye/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)