728- Ahmad ametuhadithia: Raawh ametuhadithia: Sa´iyd ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah ambaye hakuonelea vibaya mwanamke kuvaa pete au mahereni wakati anapokuwa katika Ihraam. Hata hivyo alichukizwa na kuvaa vikuku, vicheni vya mikono na vicheni vya miguuni.
729- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa Mughiyrah, kutoka kwa Ibraahiym aliyechukizwa na mwanamke kuvaa mapambo yenye kuonekana wakati wa Ihraam.
730- Ahmad ametuhadithia: Yahyaa Ahmad ametuhadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah, kutoka kwa Naafiy´ ambaye amesema:
“Wanawake na wasichana wa ´Abdullaah walikuwa wamevaa mapambo na mavazi yaliyotiwa zafarani wakati walipokuwa katika Ihraam. ´Abdullaah hakuwakemea jambo hilo.”
- Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 154
- Imechapishwa: 26/03/2021
728- Ahmad ametuhadithia: Raawh ametuhadithia: Sa´iyd ametuhadithia, kutoka kwa Qataadah ambaye hakuonelea vibaya mwanamke kuvaa pete au mahereni wakati anapokuwa katika Ihraam. Hata hivyo alichukizwa na kuvaa vikuku, vicheni vya mikono na vicheni vya miguuni.
729- Ahmad ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia, kutoka kwa Mughiyrah, kutoka kwa Ibraahiym aliyechukizwa na mwanamke kuvaa mapambo yenye kuonekana wakati wa Ihraam.
730- Ahmad ametuhadithia: Yahyaa Ahmad ametuhadithia, kutoka kwa ´Ubaydullaah, kutoka kwa Naafiy´ ambaye amesema:
“Wanawake na wasichana wa ´Abdullaah walikuwa wamevaa mapambo na mavazi yaliyotiwa zafarani wakati walipokuwa katika Ihraam. ´Abdullaah hakuwakemea jambo hilo.”
Mhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 154
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/mapambo-ya-mwanamke-katika-ihraam/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)