Swali: Ni ipi hukumu ya kumuweka maiti ndani ya sanduku?
Jibu: Ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Kilichowekwa katika Shari´ah ni kumuweka ndani ya ardhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walimuweka ndani ya ardhi. Maswahabah walimuweka ndani ya ardhi.
Swali: Ni haramu?
Jibu: Hapana. Angalau kwa uchache… bora ni kuacha kufanya hivo. Inatakiwa kumuweka ndani ya ardhi. Hivo ndivo walivyomfanyia Maswahabah Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hivo ndivo Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walivokuwa wakifanya.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23252/حكم-وضع-الميت-في-التابوت
- Imechapishwa: 10/12/2023
Swali: Ni ipi hukumu ya kumuweka maiti ndani ya sanduku?
Jibu: Ni jambo halikuwekwa katika Shari´ah. Kilichowekwa katika Shari´ah ni kumuweka ndani ya ardhi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walimuweka ndani ya ardhi. Maswahabah walimuweka ndani ya ardhi.
Swali: Ni haramu?
Jibu: Hapana. Angalau kwa uchache… bora ni kuacha kufanya hivo. Inatakiwa kumuweka ndani ya ardhi. Hivo ndivo walivyomfanyia Maswahabah Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hivo ndivo Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) walivokuwa wakifanya.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23252/حكم-وضع-الميت-في-التابوت
Imechapishwa: 10/12/2023
https://firqatunnajia.com/haikusuniwa-kuzika-ndani-ya-sanduku/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket