Swali: Je, inajuzu kupigana Jihaad pasina idhini ya mtawala? Ni ipi nasaha yako kwa vijana.
Jibu: Yule ambaye Allaah Amemtunukia mtawala Muislamu anayehukumu kwa Shari´ah na kuwaongoza, basi ni wajibu kumtii. Wasitoke kwenda kupigana katika nchi yoyote isipokuwa mpaka awape idhini. Hakika yeye anajua manufaa yao zaidi kuliko wao. Hili ni kosa na ni khatari kwa mtu kutoka na kwenda peke yake na kwa kujificha pasina idhini ya mtawala wake.
- Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=27686
- Imechapishwa: 11/04/2015
Swali: Je, inajuzu kupigana Jihaad pasina idhini ya mtawala? Ni ipi nasaha yako kwa vijana.
Jibu: Yule ambaye Allaah Amemtunukia mtawala Muislamu anayehukumu kwa Shari´ah na kuwaongoza, basi ni wajibu kumtii. Wasitoke kwenda kupigana katika nchi yoyote isipokuwa mpaka awape idhini. Hakika yeye anajua manufaa yao zaidi kuliko wao. Hili ni kosa na ni khatari kwa mtu kutoka na kwenda peke yake na kwa kujificha pasina idhini ya mtawala wake.
Mhusika: ´Allaamah Zayd bin Muhammad al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=27686
Imechapishwa: 11/04/2015
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kutoka-kwenda-kupigana-jihaad-pasina-idhini-ya-mtawala/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)