Swali: Je, kitendo cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumkubalia ´Aaishah na kumsikilizisha wasichana wawili ambao walikuwa wanapiga dufu kunachukuliwa kufaa kwa wanamme kusikiliza dufu katika masiku ya ´iyd?
Jibu: Hapana. Hayo ni mambo maalum kwa wasichana na wanawake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
- Imechapishwa: 26/09/2021
Swali: Je, kitendo cha Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kumkubalia ´Aaishah na kumsikilizisha wasichana wawili ambao walikuwa wanapiga dufu kunachukuliwa kufaa kwa wanamme kusikiliza dufu katika masiku ya ´iyd?
Jibu: Hapana. Hayo ni mambo maalum kwa wasichana na wanawake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
Imechapishwa: 26/09/2021
https://firqatunnajia.com/haifai-kwa-wanamme-kupiga-na-kusikiliza-dufu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)