Swali: Maovu mengi yanayopatikana ndani ya nchi ya Tawhiyd chanzo chake ni serikali na watawala wake sio viongozi wa Salafiyyuun.
Jibu: Majibu yetu dhidi yao ni kama wale waliomwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba ni mwendawazimu na mshairi. Ni kama alivosema mshairi:
Mawingi hayadhuriki na
kubweka kwa mbwa
Leo hakuna nchi kama nchi yetu inapokuja katika kutekeleza Tawhiyd na kuhukumu kwa Shari´ah. Hata hivyo haikusalimika na maovu kama ilivyo ulimwenguni kote. Bali mpaka Madiynah wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuweko baadhi ya watu ambao ni waovu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Hujj al-Qawiyyah ´alaa Wujuub-id-Difaa´ ´an-id-Dawlah as-Su´uudiyyah, uk. 108
- Imechapishwa: 01/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)