Swali: Je, ni kweli kwamba mwanamke aliye ndani ya eda hatakiwi kupanda ju ya paa, hatakiwi kutazama mwezi wala hatakiwi kabisa kuwazungumzisha wanamme wa kando naye?
Jibu: Hii ni fatwa ya watu wajinga. Hapana. Yote haya si sahihi. Inafaa kwake kupanda juu ya paa, kukaa bustani na mfano wa hayo. Hakatazwi isipokuwa yale aliyokatazwa na Shari´ah, na si yale aliyokatazwa na wasiokuwa na elimu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 05/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)