Swali: Je, analazimika mwanamke kuswali Maghrib na ´Ishaa akitwahirika dakika 30 kabla ya kupambazuka Fajr?
Jibu: Haya yameyatolea fatwa jopo la Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum). Ni kama ambavo akisafika wakati wa alasiri ataswali Dhuhr na ´Aswr. Huu ni wakati wa dharurah. Baada ya nusu ya usiku ni wakati wa dharurah. Ni mfano wake vivyo hivyo kuhusu wakati wa alasiri.
Swali: Ni ipi fatwa yako juu ya suala hilo?
Jibu: Ataswali Maghrib na ´Ishaa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23547/حكم-المغرب-والعشاء-لمن-طهرت-قبل-الفجر
- Imechapishwa: 09/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket