Swali: Watu wawili waliweka dau juu ya mwaliko. Mwaliko ulikuwa unahusu kamari. Nimealikwa katika chakula hicho. Je, inafaa kwangu kukila?
Jibu: Ambacho mtu ameshinda kwa njia ya kamari usihudhurie na wala usikile.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 18/01/2024
Swali: Watu wawili waliweka dau juu ya mwaliko. Mwaliko ulikuwa unahusu kamari. Nimealikwa katika chakula hicho. Je, inafaa kwangu kukila?
Jibu: Ambacho mtu ameshinda kwa njia ya kamari usihudhurie na wala usikile.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 18/01/2024
https://firqatunnajia.com/epuka-ushindi-unaotokana-na-kamari/