Swali: Mwanamke alikuwa anaishi Marekani pamoja na mume wake na wasichana zake. Akarudi katika nchi yake kuwatembelea ndugu zake. Mume wake akafariki nchini mwake. Ni wapi anatakiwa kukaa eda; USA au nchini mwake?
Jibu: Analazimika kukaa eda katika nchi yake ambayo mume wake amekufa akiwa hapo na wala asisafiri kwenda kutumia muda huo katika nchi yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22843/اين-تكون-عدة-من-توفي-زوجها-في-بلد-اخر
- Imechapishwa: 07/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)