Swali: Ni upi usahihi wa du´aa inayosema:
أسألك موجبات رحمتك
“Nakuomba yale yanayopelekea katika rehema Zako… ?”
Ibn Baaz: Sijarejelea cheni yake ya wapokezi. Wewe uko na maelezo yake ya chini?
Mwanafunzi: Ndio. Katika cheni yake yumo Humayd al-A´raaj. adh-Dhahabiy amesema katika “al-Miyzaan”:
“Ni mwenye kuachwa.”
Ahmad amesema:
“Dhaifu.”
Abu Zur´ah amesema:
“Mnyonge.”
ad-Daaraqutwniy amesema:
“Ni mwenye kuachwa.”
Ibn Baaz: Ni du´aa nzuri hata kama haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23141/ما-صحة-حديث-اسالك-موجبات-رحمتك
- Imechapishwa: 11/11/2023
Swali: Ni upi usahihi wa du´aa inayosema:
أسألك موجبات رحمتك
“Nakuomba yale yanayopelekea katika rehema Zako… ?”
Ibn Baaz: Sijarejelea cheni yake ya wapokezi. Wewe uko na maelezo yake ya chini?
Mwanafunzi: Ndio. Katika cheni yake yumo Humayd al-A´raaj. adh-Dhahabiy amesema katika “al-Miyzaan”:
“Ni mwenye kuachwa.”
Ahmad amesema:
“Dhaifu.”
Abu Zur´ah amesema:
“Mnyonge.”
ad-Daaraqutwniy amesema:
“Ni mwenye kuachwa.”
Ibn Baaz: Ni du´aa nzuri hata kama haikupokelewa kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23141/ما-صحة-حديث-اسالك-موجبات-رحمتك
Imechapishwa: 11/11/2023
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kumuomba-allaah-yale-yanayopelekea-katika-rehema-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)