Swali: Baadhi ya watu kila baada ya Rak´ah mbili za swalah ya Tarawiyh wanaomba kwa kusema:
نسأل الله الهدى والرضا والعفو عما مضى
“Tunamuomba Allaah uongofu, ridhaa na msamaha wa yaliyotangulia.”
Jibu: Haina msingi. Du´aa hii haina msingi. Hata hivyo hapana neno kwa ambaye ataomba kile ambacho Allaah amemuwepesishia. Hakuna du´aa maalum kati ya Tasliym mbili. Lakini ni sawa kwa ambaye ataomba. Kuhusu kitu maalum hakuna du´aa iliyotajwa wala nyingine.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/12915/حكم-تخصيص-دعاء-معين-بين-ركعات-التراويح
- Imechapishwa: 08/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)