Swali: Je, inajuzu kwa mwenye kumuombada du´aa Allaah kusema “Ee Mpenzi (حبيبي), niruzuku!” au “Ee Mpenzi, nipende!” na mfano wa maneno kama hayo?
Jibu: Ndio. Inajuzu kusema “Ee Mpenzi!”. Kwa sababu muumini ni mwenye kumpenda Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala):
فَسَوْفَ يَأْتِي اللَّـهُ بِقَوْمٍ يُحِبُّهُمْ وَيُحِبُّونَهُ
”… Allaah ataleta watu [badala yao] atakaowapenda nao watampenda.” (05:54)
Ni sawa kufanya hivo. Huku ni kufanya Tawassul kwa Allaah kupitia mapenzi yako Kwake. Kwa kuwa mapenzi yake Kwake ni ´ibaadah. Hili ni tendo jema. Inajuzu kufanya Tawassul kwa Allaah kwa matendo mema ya mtu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Je, inajuzu kwa mwenye kumuombada du´aa Allaah kusema “Ee Mpenzi (حبيبي), niruzuku!” au “Ee Mpenzi, nipende!” na mfano wa maneno kama hayo?
Jibu: Ndio. Inajuzu kusema “Ee Mpenzi!”. Kwa sababu muumini ni mwenye kumpenda Allaah (Subhanaahu wa Ta´ala):
فَسَوْفَ يَأْتِي اللَّـهُ بِقَوْمٍ يُحِبُّهُمْ وَيُحِبُّونَهُ
”… Allaah ataleta watu [badala yao] atakaowapenda nao watampenda.” (05:54)
Ni sawa kufanya hivo. Huku ni kufanya Tawassul kwa Allaah kupitia mapenzi yako Kwake. Kwa kuwa mapenzi yake Kwake ni ´ibaadah. Hili ni tendo jema. Inajuzu kufanya Tawassul kwa Allaah kwa matendo mema ya mtu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/12522
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/duaa-ee-mpenzi__trashed/