Swali: Anayetokwa na damu kidogo puani ni lazima aikate swalah yake?
Jibu: Hapana, kama ni ndogo ni yenye kusamehewa. Damu ndogo inayotoka puani, kwenye meno au kwenye macho ni yenye kusamehewa.
Swali: Vivyo hivyo kuhusu kutapika?
Jibu: Matapishi madogo yanasemehewa, lakini hayaitwi kuwa ni matapishi, kwa sababu matapishi ni lazima yakariri.
Swali: Matapishi ya mtoto mdogo wa kiume mchanga ni yenye kusamehewa pia?
Jibu: Ni kama mfano wa mkojo wake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23254/حكم-الرعاف-والقيء-اليسيران-في-الصلاة
- Imechapishwa: 08/12/2023
Swali: Anayetokwa na damu kidogo puani ni lazima aikate swalah yake?
Jibu: Hapana, kama ni ndogo ni yenye kusamehewa. Damu ndogo inayotoka puani, kwenye meno au kwenye macho ni yenye kusamehewa.
Swali: Vivyo hivyo kuhusu kutapika?
Jibu: Matapishi madogo yanasemehewa, lakini hayaitwi kuwa ni matapishi, kwa sababu matapishi ni lazima yakariri.
Swali: Matapishi ya mtoto mdogo wa kiume mchanga ni yenye kusamehewa pia?
Jibu: Ni kama mfano wa mkojo wake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23254/حكم-الرعاف-والقيء-اليسيران-في-الصلاة
Imechapishwa: 08/12/2023
https://firqatunnajia.com/damu-kidogo-inayomtoka-mswaliji/