Swali: Mtu akifanya chuku ilihali amefunga akamilishe swawm yake au afungue?
Jibu: Swawm imeharibika kwa kuumikwa. Lakini anatakiwa kujizuia siku iliyobaki na ailipe siku hiyo. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Amefungua mwenye kufanya chuku na mwenye kufanywa.”
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/eg–14041434.mp3
- Imechapishwa: 10/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)