Chakula halali kilichopikwa na mshirikina na budha

Swali: Je, inafaa kula chakula halali kilichopikwa na mshirikina au budha?

Jibu: Hapana vibaya. Haidhuru. Lakini haitakikani kuwatumia wafanya kazi makafiri katika kisiwa cha kiarabu. Haitakikani kuwatumia kama wafanya kazi au watumishi. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuwafukuza katika kisiwa cha kiarabu. Nje yake jambo ni jepesi.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22952/https://binbaz.org.sa/fatwas/22952/
  • Imechapishwa: 22/09/2023