Swali: Hadiyth inayosema:
“Watu aina sababu watafunikwa na kivuli cha Allaah siku ambayo kutakuwa hakuna kivuli isipokuwa kivuli Chake.”[1]
inafasiriwa na Hadiyth nyingine inayosema kuwa ni kivuli cha ´Arshi?
Jibu: Inafasiriwa kwa yote mawili. ´Arshi inayo kivuli na Allaah ana kivuli. Allaah ana kivuli ambacho hakuna anayejua namna yake isipokuwa Yeye (Jalla wa ´Alaa). Yamepokelewa yote mawili. Kumepokelewa kivuli cha ´Arshi na kumepokelewa pia kivuli Chake (Jalla wa ´Alaa).
[1] al-Bukhaariy (659) na Muslim (1031).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22954/معنى-الظل-في-حديث-السبعة-الذين-يظلهم-الله
- Imechapishwa: 22/09/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)