Swali: Ndoa yangu inakaribia – Allaah akitaka – na mimi ni miongoni mwa wale wanaoonelea picha za simu kuwa ni haramu. Hakika unajua kuenea kwa picha katika sherehe mbalimbali. Je, ni lazima kwangu kuwakataza wakati wataposimama kunipiga picha?
Jibu: Wawekee sharti ya kwamba wasifanye kitu hichi. Wawekee sharti hii. Endapo utaweza kuwakataza wakataze. Lakini wawekee sharti ya kwamba kusiwepo mambo ya picha wala kitu chochote cha maasi. Ukiweza kuwakataza kwa matendo ni wajibu kwako kufanya hivi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-5-26.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Ndoa yangu inakaribia – Allaah akitaka – na mimi ni miongoni mwa wale wanaoonelea picha za simu kuwa ni haramu. Hakika unajua kuenea kwa picha katika sherehe mbalimbali. Je, ni lazima kwangu kuwakataza wakati wataposimama kunipiga picha?
Jibu: Wawekee sharti ya kwamba wasifanye kitu hichi. Wawekee sharti hii. Endapo utaweza kuwakataza wakataze. Lakini wawekee sharti ya kwamba kusiwepo mambo ya picha wala kitu chochote cha maasi. Ukiweza kuwakataza kwa matendo ni wajibu kwako kufanya hivi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (48) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-5-26.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/bwana-harusi-kukataza-picha-katika-harusi-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)