Swali: Nikiswali kwenye msikiti ambao imamu anaswali Rak´ah ishirini – je, nikamilishe Rak´ah ishirini kwa kumfuata imamu au niswali pamoja naye Rak´ah nane na kuswali Witr peke yangu kisha niondoke zangu?
Jibu: Nakushauri kuswali Rak´ah nane na uswali Witr peke yako. Kufuata Sunnah ndio bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 86
- Imechapishwa: 20/03/2024
Swali: Nikiswali kwenye msikiti ambao imamu anaswali Rak´ah ishirini – je, nikamilishe Rak´ah ishirini kwa kumfuata imamu au niswali pamoja naye Rak´ah nane na kuswali Witr peke yangu kisha niondoke zangu?
Jibu: Nakushauri kuswali Rak´ah nane na uswali Witr peke yako. Kufuata Sunnah ndio bora zaidi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Swalini kama mlivyoniona nikiswali.”
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 86
Imechapishwa: 20/03/2024
https://firqatunnajia.com/bora-ni-kufuata-sunnah-na-kuswali-rakah-11/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
