Swali: Je, ni jambo limewekwa katika Shari´ah kuwaomboleza wafalme na watawala kwa kuinua bendera nusu mlingoti?
Jibu: Wake ndio wanaotakiwa kukaa eda, na si wanamme. Haya ni miongoni mwa matendo ya kipindi kabla ya kuja Uislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 06/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)