Swali: Mbali na mume, mwanamke akitaka kumkalia eda ndugu yake aliyefariki kwa muda wa siku tatu. Je, hiyo ina maana kwamba anatakiwa kujiepusha na mapambo, manukato na mfano wa hayo?
Jibu: Ndio, hiyo ndio maana ya kukaa eda.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (40)
- Imechapishwa: 06/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)