Swali: Inaweza kutokea niko mahala ambapo kuna watu wengine walioathirika na baadhi ya walinganizi wapotevu ambao wanachuoni wamewatahadharisha. Je, nieleze waliosema wanachuoni kuhusu wao au bora zaidi ninyamaze na khaswa ikiwa walioko kwenye kikao hicho ni watu ´Awwaam?
Jibu: Hapana, usinyamaze. Ukinyamaza ina maana unakubaliana na wao na hivyo ´Awwaam wataona kuwa ni sawa. Bainisha kwa hekima na maneno mazuri. Ikiwa unaweza kuwabainishia suala hilo faragha, fanya hivo. Wakijirudi himdi zote ni za Allaah. Na wasipofanya hivo baada ya hapo wabainishie watu.
- Muhusika: Imam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tatwhiyr-il-I´tiqaad (1) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13132
- Imechapishwa: 19/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)