Swali: Maneno yake ´Aaishah aliposema:
“Msiharakishe mpaka mtakapoona mtiririko mweupe… “
Jibu: Hapana, sio lazima. Mara nyingi kunakuwepo mtiririko mweupe. Vinginevyo inatosha ikiwa mwanamke atasafika ingawa hakuona mtiririko mweupe. Baadhi ya wanawake hawaoni mtiririko mweupe… Inatosha akiona kuwa amesafika. Akiweka ndani pamba na kadhalika na asione kitu basi himdi zote anastahiki Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23549/هل-القصة-البيضاء-علامة-للطهر-من-الحيض
- Imechapishwa: 10/02/2024
Swali: Maneno yake ´Aaishah aliposema:
“Msiharakishe mpaka mtakapoona mtiririko mweupe… “
Jibu: Hapana, sio lazima. Mara nyingi kunakuwepo mtiririko mweupe. Vinginevyo inatosha ikiwa mwanamke atasafika ingawa hakuona mtiririko mweupe. Baadhi ya wanawake hawaoni mtiririko mweupe… Inatosha akiona kuwa amesafika. Akiweka ndani pamba na kadhalika na asione kitu basi himdi zote anastahiki Allaah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23549/هل-القصة-البيضاء-علامة-للطهر-من-الحيض
Imechapishwa: 10/02/2024
https://firqatunnajia.com/baadhi-ya-wanawake-hawaoni-mtiririko-mweupe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)