Swali: al-Bukhaariy amesema: “Mlango kuhusu mwenye kuchukua nguo nyingine safi mbali na ile nguo ya hedhi.”
Jibu: Hapana vibaya. Ni kwa ajili ya usafi na utunzaji. Achukue nguo nyingine safi ili asipatwe na damu.
Swali: Haisemwi kuwa ni Sunnah kwa sababu ya kumkubalia kwake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Inawezekana.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23551/حكم-اتخاذ-ثياب-للحيض-غير-ثياب-الطهر
- Imechapishwa: 10/02/2024
Swali: al-Bukhaariy amesema: “Mlango kuhusu mwenye kuchukua nguo nyingine safi mbali na ile nguo ya hedhi.”
Jibu: Hapana vibaya. Ni kwa ajili ya usafi na utunzaji. Achukue nguo nyingine safi ili asipatwe na damu.
Swali: Haisemwi kuwa ni Sunnah kwa sababu ya kumkubalia kwake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Inawezekana.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23551/حكم-اتخاذ-ثياب-للحيض-غير-ثياب-الطهر
Imechapishwa: 10/02/2024
https://firqatunnajia.com/nguo-safi-nyingine-mbali-na-ile-ya-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)