Swali: Je, imethibiti kuwa ardhi haili miili ya mashahidi?
Jibu: Sijui jambo hilo. Hilo limepokelewa juu ya Mitume ya kwamba Allaah ameiharamishia ardhi kula miili ya Mitume. Lakini linaweza kutokea kwa baadhi ya waja wema hali ya kuwa ni heshima kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Haidhuru ikiwa ardhi itakula mwili wake. Kila mtu:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ ٰ
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni.”[1]
Mwanadamu wote atateketea isipokuwa kifupa kilicho kwenye uti wa mgongo wake (عَجْبُ الذَّنَبِ). Mtu ataumbwa tena kutokana na kijimfupa hicho siku ya Qiyaamah.
[1] 20:55
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23176/هل-تاكل-الارض-اجساد-الشهداء
- Imechapishwa: 20/11/2023
Swali: Je, imethibiti kuwa ardhi haili miili ya mashahidi?
Jibu: Sijui jambo hilo. Hilo limepokelewa juu ya Mitume ya kwamba Allaah ameiharamishia ardhi kula miili ya Mitume. Lakini linaweza kutokea kwa baadhi ya waja wema hali ya kuwa ni heshima kutoka kwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Haidhuru ikiwa ardhi itakula mwili wake. Kila mtu:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ ٰ
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni.”[1]
Mwanadamu wote atateketea isipokuwa kifupa kilicho kwenye uti wa mgongo wake (عَجْبُ الذَّنَبِ). Mtu ataumbwa tena kutokana na kijimfupa hicho siku ya Qiyaamah.
[1] 20:55
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23176/هل-تاكل-الارض-اجساد-الشهداء
Imechapishwa: 20/11/2023
https://firqatunnajia.com/ardhi-na-miili-ya-mashahidi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)