2 – ash-Shurayd bin Shariyk ath-Thaqafiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alinipitia na mimi nimekaa namna hii. Nilikuwa nimeweka mkono wangu wa kushoto nyuma ya mgongo wangu na nikauegemea. Akasema: ”Unakaa mkao wa wale walioghadhibikiwa?”[1]
[1] Abu Daawuud, al-Haakim na Ahmad (4/388). al-Haakim amesema kuwa cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh na adh-Dhahabiy akaafikiana naye. Bali ni kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 196-197
- Imechapishwa: 20/11/2023
2 – ash-Shurayd bin Shariyk ath-Thaqafiy (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alinipitia na mimi nimekaa namna hii. Nilikuwa nimeweka mkono wangu wa kushoto nyuma ya mgongo wangu na nikauegemea. Akasema: ”Unakaa mkao wa wale walioghadhibikiwa?”[1]
[1] Abu Daawuud, al-Haakim na Ahmad (4/388). al-Haakim amesema kuwa cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh na adh-Dhahabiy akaafikiana naye. Bali ni kwa mujibu wa sharti za al-Bukhaariy.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 196-197
Imechapishwa: 20/11/2023
https://firqatunnajia.com/139-waislamu-hawaketi-namna-hiyo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)