Swali: Kuua ni miongoni mwa vikwazo vya kurithi. Je, anayeua kimakosa ana haki ya kurithi?
Jibu: Hapana, hana haki ya kurithi ijapo ni kwa makosa kwa sababu ya kufunga mlango.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 07/09/2023