Swali: Mtu anaweza kuja msikitini, hata hivyo anaweza tu kuswali kwa kulala na si kwa kuketi chini. Atasimama vipi katika safu?
Jibu: Aswali nyumbani kwake.
Swali: Anaweza kuswali kwa kulala msikitini, lakini hawezi kuswali kwa kuketi chini.
Ibn Baaz: Hawezi kuswali kwa kuketi mkao mwingine mbali na mutarabbiy´[1]?
Muulizaji: Nalala chali. Ni lazima niketi mkao huu.
Jibu.: Asije. Aswali nyumbani kwake. Ni mwenye kupewa udhuru.
[1] Ni mkao wa heshima ambao unakalia makalio kisha wakunja miguu kwa kuingiza mguu wa kulia ndani ya mguu wa kushoto.
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23286/حكم-من-لا-يستطيع-الصلاة-الا-مستلقيا
- Imechapishwa: 21/12/2023
Swali: Mtu anaweza kuja msikitini, hata hivyo anaweza tu kuswali kwa kulala na si kwa kuketi chini. Atasimama vipi katika safu?
Jibu: Aswali nyumbani kwake.
Swali: Anaweza kuswali kwa kulala msikitini, lakini hawezi kuswali kwa kuketi chini.
Ibn Baaz: Hawezi kuswali kwa kuketi mkao mwingine mbali na mutarabbiy´[1]?
Muulizaji: Nalala chali. Ni lazima niketi mkao huu.
Jibu.: Asije. Aswali nyumbani kwake. Ni mwenye kupewa udhuru.
[1] Ni mkao wa heshima ambao unakalia makalio kisha wakunja miguu kwa kuingiza mguu wa kulia ndani ya mguu wa kushoto.
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23286/حكم-من-لا-يستطيع-الصلاة-الا-مستلقيا
Imechapishwa: 21/12/2023
https://firqatunnajia.com/anataka-kwenda-msikitini-lakini-anaweza-tu-kuswali-kwa-kulala/