Swali: Je, inafaa kwa mtu kuweka sharti pindi anapokufa azikwe ndani ya nyumba yake?
Jibu: Hapana. Akishurutisha hivo ni sharti batili. Azikwe kwenye makaburi ya waislamu na asizikwe katika nyumba yake.
Swali: Wanajengea hoja ni kwa nini Abu Bakr na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) wamezikwa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Kwa sababu ni Maswahabah wenye sifa za kipekee. Kwa hivyo wakazikwa pamoja naye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa hivyo chumba chake ikawa ni makaburi ya wote watatu na yakawa ni makaburi maalum.
Swali: Sababu ya wao kufanya hivo?
Jibu: Kwa sababu ni Maswahabah zake wenye sifa maalum (Radhiya Allaahu ´anhuma).
Swali: Kwa hiyo hili ni jambo maalum kwao wawili?
Jibu: Ilikuwa Ijtihaad ya Maswahabah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22192/هل-يجوز-دفن-ميت-في-بيته-بناء-على-طلبه
- Imechapishwa: 03/11/2022
Swali: Je, inafaa kwa mtu kuweka sharti pindi anapokufa azikwe ndani ya nyumba yake?
Jibu: Hapana. Akishurutisha hivo ni sharti batili. Azikwe kwenye makaburi ya waislamu na asizikwe katika nyumba yake.
Swali: Wanajengea hoja ni kwa nini Abu Bakr na ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) wamezikwa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Kwa sababu ni Maswahabah wenye sifa za kipekee. Kwa hivyo wakazikwa pamoja naye (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwa hivyo chumba chake ikawa ni makaburi ya wote watatu na yakawa ni makaburi maalum.
Swali: Sababu ya wao kufanya hivo?
Jibu: Kwa sababu ni Maswahabah zake wenye sifa maalum (Radhiya Allaahu ´anhuma).
Swali: Kwa hiyo hili ni jambo maalum kwao wawili?
Jibu: Ilikuwa Ijtihaad ya Maswahabah.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22192/هل-يجوز-دفن-ميت-في-بيته-بناء-على-طلبه
Imechapishwa: 03/11/2022
https://firqatunnajia.com/anataka-kuzikwa-nyumbani-kwa-sababu-ya-abu-bakr-na-umar/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)