Swali: Nilimuoa mwanamke kisha baada ya kipindi fulani ikanibainikia kuwa amepatwa na jini. Je, inafaa kwangu kuifuta ndoa na anirudishie mahari yangu kwa sababu nimetiwa mchanga wa machoni?
Jibu: Hili linaamua hakimu kama nilivosema. Rejeeni mahakamani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 10/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)