Kupeana mkono na kusafiri na dadake mke

Swalii: Je, inafaa kupeana mkono na kusafiri na dada yake mke kwa madai kwamba ameharamika kwangu kumuoa kwa kipindi fulani?

Jibu: Hapana, sio Mahram yako. Haijalishi kitu hata kama ni haramu kwako sio Mahram yako. Kwa hivyo usisafiri naye.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
  • Imechapishwa: 10/08/2023