Swalii: Je, inafaa kupeana mkono na kusafiri na dada yake mke kwa madai kwamba ameharamika kwangu kumuoa kwa kipindi fulani?
Jibu: Hapana, sio Mahram yako. Haijalishi kitu hata kama ni haramu kwako sio Mahram yako. Kwa hivyo usisafiri naye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (36)
- Imechapishwa: 10/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)