Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Mali haipungui kwa kutoa swadaqah.”
Je, makusudio ni kuongezeka kwa mali hiyohiyo au thawabu?
Jibu: Thawabu na baraka katika mali na kile kilichobaki:
وَمَا أَنفَقْتُم مِّن شَيْءٍ فَهُوَ يُخْلِفُهُ
“Na chochote mtoacho katika kitu, basi Yeye Atakilipa.”[1]
Atajiwa na badala yake ambayo ni yale anayopata kutoka katika njia zingine. Hivyo Allaah anampa badala yake duniani na pia anampa thawabu Aakhirah.
[1] 34:39
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22338/معنى-حديث-ما-نقصت-صدقة-من-مال
- Imechapishwa: 11/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)