Swali: Kaka yangu amehifadhi juzu kumi. Alipoenda kwa mwalimu wa Qur-aan kusoma kwake akaanza nae kuanzia al-Faatihah na akaisoma wiki nzima kwa sababu alikuwa haonelei kuwa anaisoma kwa hukumu za Tajwiyd. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah na aendelee kusoma kwake?
Jibu: Wiki nzima anasoma al-Faatihah? Ni muda kiasi gani itamchukua kusoma al-Baqarah? Miaka kumi? Ni kujikakama. Asisome kwake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 13/02/2017
Swali: Kaka yangu amehifadhi juzu kumi. Alipoenda kwa mwalimu wa Qur-aan kusoma kwake akaanza nae kuanzia al-Faatihah na akaisoma wiki nzima kwa sababu alikuwa haonelei kuwa anaisoma kwa hukumu za Tajwiyd. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah na aendelee kusoma kwake?
Jibu: Wiki nzima anasoma al-Faatihah? Ni muda kiasi gani itamchukua kusoma al-Baqarah? Miaka kumi? Ni kujikakama. Asisome kwake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (40) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatsah%20%20-%2028%20-%2012%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 13/02/2017
https://firqatunnajia.com/anafunzwa-al-faatihah-wiki-nzima/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)