Swali: Nina kaka ambaye umri wake ni miaka kumi na mbili na mke wangu anafunua uso wake mbele yake. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Anatakiwa kujisitiri mbele yake. Kwa sababu huyu amekaribia. Pengine akawa amekwishabaleghe na ni mwenye kuota. Huenda nywele zake za sehemu ya siri zimekwishaota ingawa ni mtoto wa miaka kumi na mbili. Anaweza kubaleghe katika miaka hii. Kwa ajili hiyo mwanamke anapaswa kujisitiri kwa ambaye amekaribia kubaleghe. Akiwa ni mtoto wa miaka kumi anayeelewa [mambo ya wakubwa] basi unapaswa kujisitiri mbele yake.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 04/09/2021
Swali: Nina kaka ambaye umri wake ni miaka kumi na mbili na mke wangu anafunua uso wake mbele yake. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Anatakiwa kujisitiri mbele yake. Kwa sababu huyu amekaribia. Pengine akawa amekwishabaleghe na ni mwenye kuota. Huenda nywele zake za sehemu ya siri zimekwishaota ingawa ni mtoto wa miaka kumi na mbili. Anaweza kubaleghe katika miaka hii. Kwa ajili hiyo mwanamke anapaswa kujisitiri kwa ambaye amekaribia kubaleghe. Akiwa ni mtoto wa miaka kumi anayeelewa [mambo ya wakubwa] basi unapaswa kujisitiri mbele yake.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 04/09/2021
https://firqatunnajia.com/anafunua-uso-wake-mbele-ya-shemeji-zake-wanaokariba-baleghe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)