Swali: Je, imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati iliposhuka “an-Naas” na “al-Falaq” aliacha mengine yote aliyokuwa akiomba kinga kwayo?
Jibu: Siyakumbuki hayo. Lakini amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakujilinda mwenye kujilinda kwa mfano wa hizo mbili.”
Inapendeza kwa muumini kuzisoma baada ya kila swalah. Asome al-“Ikhlaasw”, “an-Naas” na “al-Falaq” baada ya kila swalah, wakati wa kulala mara tatu. Yote haya ni kwa lengo la kujilinda. Kama ambavo mtu anatakiwa kufanya sababu nyenginezo kukiwemo kufunga mlango wake, amtaje Allaah kabla ya kula na kunywa. Hizi ni sababu. Haifai kwake kuacha kula na kunywa mpaka akafa. Anatakiwa kufanya sababu nyenginezo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23104/هل-يكتفى-بالمعوذتين-عن-ساىر-التعوذات
- Imechapishwa: 03/11/2023
Swali: Je, imepokelewa kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati iliposhuka “an-Naas” na “al-Falaq” aliacha mengine yote aliyokuwa akiomba kinga kwayo?
Jibu: Siyakumbuki hayo. Lakini amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Hakujilinda mwenye kujilinda kwa mfano wa hizo mbili.”
Inapendeza kwa muumini kuzisoma baada ya kila swalah. Asome al-“Ikhlaasw”, “an-Naas” na “al-Falaq” baada ya kila swalah, wakati wa kulala mara tatu. Yote haya ni kwa lengo la kujilinda. Kama ambavo mtu anatakiwa kufanya sababu nyenginezo kukiwemo kufunga mlango wake, amtaje Allaah kabla ya kula na kunywa. Hizi ni sababu. Haifai kwake kuacha kula na kunywa mpaka akafa. Anatakiwa kufanya sababu nyenginezo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23104/هل-يكتفى-بالمعوذتين-عن-ساىر-التعوذات
Imechapishwa: 03/11/2023
https://firqatunnajia.com/an-naas-na-al-falaq-zinazotosha-kutokana-na-kinga-nyenginezo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)