Swali: Mwenye kufa katika miji ya makafiri na akazikwa kwa kuelekezwa kinyume na Qiblah. Je, ni lazima kulifukua kaburi na kumwelekeza Qiblah pamoja na kwamba jambo hili ni kazi kubwa kwetu?
Jibu: Hapana, si lazima. Si lazima kulifukua kaburi na kulielekeza Qiblah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 08/09/2019
Swali: Mwenye kufa katika miji ya makafiri na akazikwa kwa kuelekezwa kinyume na Qiblah. Je, ni lazima kulifukua kaburi na kumwelekeza Qiblah pamoja na kwamba jambo hili ni kazi kubwa kwetu?
Jibu: Hapana, si lazima. Si lazima kulifukua kaburi na kulielekeza Qiblah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 08/09/2019
https://firqatunnajia.com/amezikwa-kinyume-na-qiblah/