Swali: Je, anapata dhambi ambaye amehifadhi Qur-aan kisha akasahau kwa kupuuza?
Jibu: Kunakhofiwa juu yake. Lakini sahihi ni kwamba hapati dhambi kwa kule kusahau peke yake. Allaah anasema:
رَبَّنَا لَا تُؤَاخِذْنَا إِن نَّسِينَا أَوْ أَخْطَأْنَا
“Ee Mola wetu! Usituchukulie pale tutaposahau au tukikosea.”[1]
Lakini anapaswa kujitahidi, kupupia na kudumu katika kusoma ili asisahau.
[1] 02:286
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23037/حكم-من-حفظ-القران-ثم-نسيه-تهاونا
- Imechapishwa: 20/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)