Du´aa baada ya swalah ya faradhi

Swali: Vipi kuomba du´aa baada ya swalah ya faradhi?

Jibu: Ni sawa akiomba du´aa baina yake yeye na nafsi yake. Lakini afanye hivo baada ya kufanya Dhikr.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23032/حكم-الدعاء-بعد-الفريضة
  • Imechapishwa: 20/10/2023