Swali: Muwindaji amesahau kutaja jina la Allaah wakati wa kupiga kwake risasi. Je, mnyama huyu ni halali?
Jibu: Si halali. Miongoni mwa sharti ni lazima ataje jina la Allaah wakati wa kumtuma. Akisahau, si halali. Wako wanazuoni wanaosema kuwa ni halali, kama ambavo mtu akisahau kutaja jina la Allaah wakati wa kuchinja ni halali. Lakini mawindo sio kama uchinjaji. Mawindo ni ruhusa na kwa ajili hiyo ni lazima kuchukua tahadhari kubwa zaidi kuliko kuchinjwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 08/12/2023
Swali: Muwindaji amesahau kutaja jina la Allaah wakati wa kupiga kwake risasi. Je, mnyama huyu ni halali?
Jibu: Si halali. Miongoni mwa sharti ni lazima ataje jina la Allaah wakati wa kumtuma. Akisahau, si halali. Wako wanazuoni wanaosema kuwa ni halali, kama ambavo mtu akisahau kutaja jina la Allaah wakati wa kuchinja ni halali. Lakini mawindo sio kama uchinjaji. Mawindo ni ruhusa na kwa ajili hiyo ni lazima kuchukua tahadhari kubwa zaidi kuliko kuchinjwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 08/12/2023
https://firqatunnajia.com/amesahau-kutaja-jina-la-allaah-wakati-wa-kupiga/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)