Swali: Ikiwa atakosa Hajj kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah – Je, haifanani na aliyenuia kuhiji kwa Tamattu‘?
Jibu: Hili ndilo alilolitoa fatwa ´Umar. Aliwajibisha juu yao hajj inayofuata na pia kutoa fidia na aliwafananisha na aliyenuia kufanya ‘Umrah na Hajj kwa pamoja, au aliyenuia Hajj peke yake kisha akatoka kwenye Ihraam kwa kufanya ‘Umrah. Aliwafananisha nao kwa sababu anahiji na kutoa kuchinja kichinjwa, kama Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyowaongoza Maswahabah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25034/ما-حكم-من-فاته-الحج-ثم-تحلل-بعمرة
- Imechapishwa: 25/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)